123. NIMEKETI MIMI NILI KIPOFU
NIMEKETI MIMI NILI KIPOFU
1. Nimeketi mimi nili kipofu
Gizani nangojea macho;
Ewe Bwana Yesu mwenye wokovu,
Ondoa dhambi zangu nzito.
Chorus:
Huruma hakuna aonaye,
Gizani nagojea macho,
Sasa nitakase nikusihiye,
Yesu, na dhambi zangu nzito.
2. Tangu siku nyingi nimepofuka
Natamani uso nikwone;
Ewe Bwana Yesu, mwenye baraka
Sema neno, basi, nipone.
3. Nimeketi mimi nili na giza,
Nami ya kutumai sina;
Ila nasikia kunong’oneza,
“Kwake Yesu kuna kupona.”
Huruma hakuna aonaye,
Gizani nagojea macho,
Sasa nitakase nikusihiye,
Yesu, na dhambi zangu nzito.
2. Tangu siku nyingi nimepofuka
Natamani uso nikwone;
Ewe Bwana Yesu, mwenye baraka
Sema neno, basi, nipone.
3. Nimeketi mimi nili na giza,
Nami ya kutumai sina;
Ila nasikia kunong’oneza,
“Kwake Yesu kuna kupona.”
Comments
Post a Comment